sw_tn/psa/118/013.md

224 B

kuniangusha chini

Mwandishi anazungumzia majeshi ya adui kujaribu kumshinda kana kwamba walikuwa wakijaribu kumsukuma ardhini. "ili kunishinda mimi"

Yahwe ni nguvu yangu na furaha yangu

"Yahwe hunipa nguvu na furaha"