sw_tn/psa/113/003.md

551 B

Kutoka maawio ya jua hadi kuzama kwake

Hii inamaanisha upande wa mashariki ambapo jua linachomoka, na magharibi, ambapo jua linazama. Mwandishi anatumia tofauti hizi kuashiria kila sehemu duniani. "Kila sehemu duniani"

Jina la Yahwe linapaswa kusifiwa

Hapa neno "jina" linamaanisha Yahwe mwenyewe. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "watu wanapaswa kumsifu Yahwe"

utukufu wake unafika juu ya mbingu

Utukufu wa Mungu unazungumziwa kana kwamba ulikuwa juu sana. "utukufu wake uko juu zaidi ya mbingu" au "utukufu wake ni mkuu sana"