sw_tn/psa/111/007.md

709 B

Kazi za mikono yake

Hapa neno "mikono" inamaanisha Yahwe, mwenyewe. "Kazi anazofanya"

Imethibitika milele

Hii inamaanisha kuwa maelezo ya Yahwe hayabadiliki na yanadumu milele. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Amezithibitisha milele" au "Zitadumu milele"

kuangaliwa kwa uaminifu na vizuri

Maana zinazowezekana ni 1) Yahwe ametoa maelezo yake katika namna ya uaminifu na iliyo sawa au 2) watu wake wanapaswa kuangalia maelezo ya Yahwe kwa namana ya uaminifu na iliyo sawa. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "kwa watu wake kuziangalia kwa uaminifu na vizuri"

mtakatifu na la ajabu ni jina lake

Hapa neno "jina" linamaanisha Yahwe mwenyewe. "Yahwe ni mtakatifu na waajabu"