1.1 KiB
Bwana yu mkono wako wa kuume
Bwana anapokwenda vitani, Yahwe husimama mkono wake wa kuume ili kumsaidia. "Bwana anakusaidia vitani"
Bwana
Neno "Bwana" linamaanisha Yahwe.
Atawaua
Atakaye waua ni Yahwe. Atasababisha wafalme washindwe na kufa, lakini ataruhusu majeshi ya mfalme kuwaua waflame maadui. "Atasababisha wafalme wafe" au "Ataruhusu jeshi lako liwaue wafalme wote"
wafalme
Hii inamaanisha adui zake. "wafalme adui"
katika siku ya hasira yake
Hapa Daudi anazungumzia siku ambayo Yahwe atakasirika na kuwaangamiza wafalme kama "siku ya hasira yake." "katika siku ya hukumu ambapo uvumilivu wake utageuka kuwa hasira"
atajaza viwanja vya mapambano na miili iliyokufa
Hii inamaanisha kuwa Yahwe atasababisha hiki kitokee, sio kwamba atawaua watu wote mwenyewe watakaokufa vitani. "atasababisha viwanja vya mapambano kujazwa na miili iliyokufa"
atawaua viongozi katika nchi nyingi
Hii inamaanisha kuwa Yahwe atasababisha hiki kitokee, sio kwamba atawaua viongozi wenyewe. "atasababisha viongozi katika nchi nyingi kuuawa" au "ataruhusu viongozi katika nchi nyingi kufa"