674 B
674 B
unitendee kwa fadhila
Hili ni ombi kwa Yahwe kumtendea kwa fadhila. "nitendee kwa fadhili"
kwa ajili ya jina lako
"kwa ajili ya sifa yako"
nimekandamizwa na muhitaji
Maneno haya mawili yana maana ya kufanana na yanasisitiza kuwa hawezi kujisaidia.
moyo wangu umeumia ndani yangu
Hapa daudi anazungumzia kukata tamaa kama moyo wake kuumia. "nimejaa majonzi na kukata tamaa"
Ninafifia kama kivuli ... kama nzige
Daudi anahisi kama anataka kufa na anaeleza hisia hii kwa kujifananisha na kivuli kinachofifia na jinsi upepo unavyopuliza nzige. "Nahisi kama nataka kufa, kama kivuli cha jioni kitakacho potea punde, kama nzige anavyopulizwa kirahisi na upepo"