sw_tn/psa/109/021.md

674 B

unitendee kwa fadhila

Hili ni ombi kwa Yahwe kumtendea kwa fadhila. "nitendee kwa fadhili"

kwa ajili ya jina lako

"kwa ajili ya sifa yako"

nimekandamizwa na muhitaji

Maneno haya mawili yana maana ya kufanana na yanasisitiza kuwa hawezi kujisaidia.

moyo wangu umeumia ndani yangu

Hapa daudi anazungumzia kukata tamaa kama moyo wake kuumia. "nimejaa majonzi na kukata tamaa"

Ninafifia kama kivuli ... kama nzige

Daudi anahisi kama anataka kufa na anaeleza hisia hii kwa kujifananisha na kivuli kinachofifia na jinsi upepo unavyopuliza nzige. "Nahisi kama nataka kufa, kama kivuli cha jioni kitakacho potea punde, kama nzige anavyopulizwa kirahisi na upepo"