sw_tn/psa/109/017.md

880 B

na imrudie juu yake

"laana zake zije juu yake"

Alijivika kwa kulaani kama vazi lake

Daudi anazungumzia tabia ya mtu mwovu kana kwamba ni vazi lake. "Aliwalaani watu wengine mara nyingi kama avaavyo nguo. au "Aliwalaani watu muda wote"

kama vazi lake

"kana kwamba yalikuwa mavazi yake"

laana ikaja kwake kama maji, kama mafuta kwenye mifupa yake

Maana zinazowezekana ni: 1) Alizungumza laana sana hadi zikawa sehmu ya utambulisho wake. "laana anazozungumza ni sehemu yake alivyo" au 2) laana alizozizungumza zilimtokea yeye. "yeye mzima alilaaniwa kwa laana aliyozungumza"

kama maji

Hii inamaanisha jinsi mtu alivyokunywa maji. "kama maji ambayo mtu hunywa"

kama mafuta kwenye mifupa yake

Hii inamaanisha jinsi mafuta yanavozama kwenye mifupa yanapopakwa kwenye ngozi. "kama mafuta ya mzeituni yanavyozama kwenye mifupa ya mtu yanapopakwa kwenye ngozi yake"