sw_tn/psa/109/011.md

536 B

Mdai

mtu anayeazimisha fedha kwa mtu mwingine lakini anategemea huyo mtu alimpe.

wapore

"waibe"

Watoto wake wakatwe; jina lao lifutwe

Misemo hii miwili inamaana ya kufanana na inasisitiza watoto wake kuangamizwa.

Watoto wake wakatwe

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Kusababisha watoto wake kukatwa" au "Kusababisha watoto wake kufa"

jina lao lifutwe katika kizazi kijacho

Hapa wazo la kutokuwepo na mtu kuendeleza jina la familia inazungumziwa kama "jina lao kufutwa." "asiwepo mtu kuendeleza jina lake"