sw_tn/psa/108/001.md

871 B

Taarifa ya Jumla:

Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania.

Zaburi ya Daudi

Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi.

Moyo wangu uko thabiti, Mungu

Hapa Daudi anajitambulisha kwa moyo wake. Pia, neno "thabiti" inamaanisha kuamini kabisa. "Moyo wangu uko thabiti kwako, Mungu" au "Nakuamini wewe kabisa, Mungu"

Nitaimba sifa pia na moyo wangu uliotukuzwa

Hapa Daudi anajitambulisha kama kuwa na heshima ya kumsifu Mungu. "Unaniheshimu kwa kuniruhusu kukuimbia sifa"

Amka, kinanda na kinubi

Hapa Daudi anaeleza kucheza vyombo kama kutembea kutoka usingizini. "Nitakusifu kwa kucheza kinanda na kinubi"

Nitaamsha alfajiri

Hapa Daudi anaeleza alfajiri kuamka kama mtu kuamka asubuhi. "Nitakuwa nikikusifu alfajiri ifikapo"

alfajiri

jua linapochomoza.