sw_tn/psa/102/025.md

191 B

wote watazeeka

Neno "wote" linamaanisha "dunia" na "mbingu."

miaka yako haitakuwa na mwisho

Hapa Daudi anaelezea urefu wa muda ambao Mungu yuko hai kama "miaka" yake. "utaishi milele"