sw_tn/psa/102/011.md

543 B

Siku zangu ni kama kivuli kinachofifia

Daudi anafananisha muda aliobakiza kuishi duniani na kivuli kinachofifia. "Muda wangu wa kubaki hai ni mfupi kama kivuli cha jioni ambacho kitapotea punde"

nimenyauka kama nyasi

Wakati mwili wa Daudi unakuwa mdhaifu na anakaribia mwisho wa maisha yake, anajilinganisha na nyasi zinazonyauka. "mwili wangu umedhofika kama nyasi zilizonyauka"

nyauka

kukauka na kujikunja

umaarufu wako ni wa vizazi vyote

"utatambulika katika vizazi vyote vitakavyokuja"

umaarufu

kujulikana na watu wengi