543 B
543 B
Siku zangu ni kama kivuli kinachofifia
Daudi anafananisha muda aliobakiza kuishi duniani na kivuli kinachofifia. "Muda wangu wa kubaki hai ni mfupi kama kivuli cha jioni ambacho kitapotea punde"
nimenyauka kama nyasi
Wakati mwili wa Daudi unakuwa mdhaifu na anakaribia mwisho wa maisha yake, anajilinganisha na nyasi zinazonyauka. "mwili wangu umedhofika kama nyasi zilizonyauka"
nyauka
kukauka na kujikunja
umaarufu wako ni wa vizazi vyote
"utatambulika katika vizazi vyote vitakavyokuja"
umaarufu
kujulikana na watu wengi