sw_tn/psa/101/007.md

598 B

Watu waongo hawata ... waongo hawata..

Misemo hii miwili ina wazo moja na inatumika pamoja kusisitiza jinsi Daudi atakavyoshindwa kuwavumilia watu waongo.

waongo hawatakaribishwa

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Sitawakaribisha waongo"

mbele ya macho yangu

Hapa "macho yangu" yanaashiria Daudi mwenyewe. "mbele yangu" au "mbele ya uwepo wangu"

Asubuhi kwa asubuhi

"Kila siku"

waovu

Hii inamaanisha watu waovu. "watu waovu"

kutoka mji wa Yahwe

Daudi anamaanisha mji aliumo kama "mji wa Yahwe." Hii inaweza kuwekwa wazi. "kutoka kwenye mji, ambao ni mji wa Yahwe"