sw_tn/psa/097/012.md

454 B

Taarifa ya Jumla:

Mstari huu una amri unaofuatwa na sababu ya amri hiyo. "Kwa sababu ya kile ambacho Yahwe amewafanyia, nyie watu wenye haki, kuweni na furaha na mpeni shukrani mnapokumbuka utakatifu wake"

Furahini katika Yahwe

"Furahini kwa sababu ya kile ambacho Yahwe amewatendea"

mnapokumbuka utakatifu wake

Maana zinazowezekana ni 1) "mnapokumbuka jinsi alivyo mtakatifu" au 2) "kwa jina lake tukufu," ni njia nyingine ya kusema "kwake."