sw_tn/psa/097/006.md

700 B

Anga zinatangaza haki yake

Maana zinazowezekana ni 1) mwandishi wa zaburi anazungumza kana kwamba anga ni wajumbe wa Yahwe wanaotangaza kuwa Yahwe ni wa haki. "Kila mtu anaweza kuona kuwa Mungu ni wa haki, kwa njia ilie ile ambayo wote wanaliona anga" au 2) anga inamaanisha viumbe vinavyoishi mbinguni. "Wale wote wanaoishi mbinguni wanatangaza kwamba Yahwe ni wa haki"

Wale wote wanaoabudu sanamu za kuchonga wataaibika, wale wanaojivunia katika sanamu zisizofaa

"Mungu atawaaibisha wale wote wanaojivunia katika sanamu zisizofaa na kuabudu sanamu za kuchonga"

Sayuni ikasikia ... miji ya Yuda

Hii inamaanisha watu wanaoishi katika nchi hizi. "Watu wa Sayuni walisikia ... watu wa Yuda"