sw_tn/psa/095/008.md

616 B

Taarifa ya Jumla:

Sasa mwandishi anaandika maneno ambayo Yahwe alizungumza.

Usikaze moyo wako

"Usiwe msumbufu"

Meriba, ... Masa

Haya ni maeneo jangwani ambayo Musa aliyataja kwa sababu Waisraeli waliasi dhidi ya Mungu.

walinijaribu ... kunipima

Misemo hii miwili yote ni sitiari ya watu kuangalia ni kiasi gani cha uovu wanaweza kufanya kabla Mungu hajawaadhibu. Misemo hii inasema kitu kimoja na inaweza kuunganishwa. "walinijaribu" au "walitaka kuona kama wanaweza kufanya uovu bila ya adhabu yangu ... walinipima kama nitaendelea kuwa mvumilivu nao"

matendo yangu

"vitu vya ajabu nilivyofanya"