sw_tn/psa/094/014.md

597 B

urithi wake

"wale alio wachagua kuwa naye milele"

hukumu itakuwa ya haki tena

Mwandishi anawazungumzia wale wanaohukumu kana kwamba walikuwa ndiyo maamuzi wanayoyafanya. "waamuzi watahukumu tena kwa haki" au "waamuzi watafanya tena maamuzi ya haki"

wanyofu wa moyo

"wale ambao mioyo yao iko sawa na Mungu"

wanafuata

"watataka waamuzi wahukumu kwa haki"

Nani atainuka kunitetea mimi dhidi ya watenda maovu? Nani atasimama kwa ajili yangu dhi ya waovu

"Hakuna mtu atakaye nitetea dhidi ya watenda maovu. Hakuna mtu atakaye nisaidia kupigana dhidi ya waovu"

waovu

"watu waovu"