sw_tn/psa/094/012.md

264 B

Taarifa ya Jumla:

Sasa mwandishi anazungumza na Yahwe tena.

hadi shimo lichimbwe kwa ajili ya waovu

Mwandishi anazungumzia yahwe kuwaadhibu waovu kana kwamba Yahwe anamtega mnyama shimoni. "hadi uchimbe shimo kwa ajili ya waovu" au "hadi uwaangamize waovu"