sw_tn/psa/094/008.md

567 B

Taarifa ya Jumla:

Mwandishi sasa anawaeleza watu waovu.

mtajifunza lini?

Swali hili la balagha linasisitiza hasira ya mwandishi na watu waovu anaozungumza nao. "acheni jia zenu za kipumbavu!" au "jifunzeni kutoka katika makosa yenu!"

Yeye aliyeumba sikio, je hasikii? Yeye aliyeumba jicho, hauoni?

Maswali haya balagha "Mungu aliumba masikio, kwa hiyo anaweza kusikia. Mungu aliumba macho, kwa hiyo anaweza kuona." au "Mungu aliumba masikio, kwa hiyo acheni kujifanya kana kwamba hasikii. Mungu aliumba macho, kwa hiyo acheni kujifanya kana kwamba haoni."