sw_tn/psa/094/003.md

685 B

Hadi lini waovu, Yahwe, hadi lini waovu watashangilia?

Mwandishi wa zaburi anarudia wali kuonesha kuwa hana furaha na muda ambao Yahwe amewaruhusu waovu washangilie. "Umesubiri muda mrefu sana Yahwe; umesubiri muda mrefu sana kuwazuia waovu kushangilia."

waovu watashangilia

"Je! Waovu watashangilia kwa sababu huwaadhibu kwa matendo maovu wanayofanya"

Wanamwaga

"Wale wote wanaofanya uovu wanamwaga"

Wanamwaga nje maneno yao kiburi

Mwandishi wa zaburi anaandika kuhusu waovu kuzungumza kana kwamba maneno yao yalikuwa kimiminiko kinachomwagwa nje.

wale wote wanaofanya majivuno ya uovu

"Wale wote wanaofanya uovu wanajisifu juu ya matendo yao ya uovu na tabia zao"