sw_tn/psa/092/014.md

552 B

Wanazaa matunda

Mwandishi anawazungumzia watu wenye haki kana kwamba walikuwa miti ambayo inatoa matunda. "Wanampendeza Mungu"

wanabaki na ubichi na kijani

Mwandishi anawazungumzia watu wenye haki kana kwamba walikuwa miti. "wanabaki imara na wenye afya" au "huwa wanafanya kinachompendeza Mungu"

kijani, kutangaza kwamba

Maana zinazowezekana ni 1) kijani, ili watangaze" au 2) "kijani. Hii inaonesha kwamba"

Yeye ni mwamba wangu

"Yahwe ndiye anayenilinda." Mwandishi wa zaburi anamzungumzia Yahwe kana kwamba ni mwamba ambao utamlinda.