sw_tn/psa/091/010.md

474 B

Hakuna uovu utakaokupita

"Hakuna kitu kiovu kitakachotokea kwako"

hakuna mateso yatakayo kuja karibu na nyumba yako

Mwandishi anawazungumzia watu wanaowatesa wengine kana kwamba walikuwa ndio madhara waliyoyasababisha. "hakuna mtu atakayeweza kudhuru familia yako"

Kwa kuwa atawaongoza

"Yahwe ataamuru"

katika njia zako zote

Mwandishi anazungumzia jinsi mtu anavyoishi kana kwamba ni njia ambayo mtu alitembea. "katika kila kitu unachofanya" au "wakati wote'