666 B
666 B
Unawafagia kama na mafuriko wanapolala
Mungu kuwasababisha watu kufa kabla inazungumziwa kana kwamba aliwafagia na mfagio. Kufagia huku pia kunazungumziwa kana kwamba ni mafuriko yaliyowabeba watu. "Bwana, unawaangamiza watu kama na mafuriko na wanakufa"
wanapolala
Hii ni jia ya ya ustarabu ya kuzungumzia watu kufa.
asubuhi ni kama nyasi ... jioni linanyauka na kukauka
Watu wanafananishwa na nyasi kusisitiza kuwa watu hawaishi muda mrefu sana.
linachanua na kuota
Misemo hii miwli inamaanisha jinsi nyasi zinavyoota. "linaanza kuota na kukua"
linanyauka na kukauka
Misemo hii miwili inamaanisha jinsi nyasi zinavyokufa. "linafifia na kukauka"