sw_tn/psa/088/013.md

324 B

ombi langu linafika mbele yako

Mwandishi kuomba kwa yahwe inazungumziwa kana kwamba ombi lenyewe linaenda kuzungumza na Yahwe.

Kwa nini unaficha uso wako kwangu?

Hii inazungumzia mwandishi kuhisi kama Mungu amemkataa au kumwacha kana kwamba Mungu alikuwa akificha sura yake au kugeuka kiuhalisia kumwepuka mwandishi.