669 B
669 B
Taarifa ya Jumla:
Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania.
Wimbo, zaburi ya wana wa Kora
"Hii ni zaburi ambayo wana wa Kora waliandika"
Kwa mwanamuziki mkuu
"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu"
weka katika mtindo wa Mahalathi Leanothi
Hii inaweza kuwa inamaanisha mtindo wa muziki.
Maschili
Hii inaweza kuwa inamaanisha mtindo wa muziki.
Hemani
Hili ni jina la mwanamume
Mwezrahi
Hili ni jina la kundi la watu. Inaweza kumaanisha mwana au uzao wa Zera.
Mungu wa wokovu wangu
"wewe ndiye unaye niokoa"
mchana na usiku
Mwandishi anatumia maneno haya yenye maana tofauti kumaanisha kuwa analia kwa uendelevu.