414 B
414 B
Taarifa ya Jumla:
Mwandishi anamwomba Mungu kuwashinda adui wa Israeli kama alivyofanya kipindi cha nyuma.
Orebu ... Zeebu ... Zeba ... Zalmuna
Haya yote ni majina ya wafalme.
Wakasema
Hapa "Wakasema" inamaanisha Orebu, Zeebu, Zeba na Zalmuna.
malisho ya Mungu
Mwandishi anazungumzia nchi ya Israeli kana kwamba ni nchi kwa ajili ya kondoo kula na Mungu alikuwa mchungaji wao aliyekuwa akiwachunga.