sw_tn/psa/083/011.md

414 B

Taarifa ya Jumla:

Mwandishi anamwomba Mungu kuwashinda adui wa Israeli kama alivyofanya kipindi cha nyuma.

Orebu ... Zeebu ... Zeba ... Zalmuna

Haya yote ni majina ya wafalme.

Wakasema

Hapa "Wakasema" inamaanisha Orebu, Zeebu, Zeba na Zalmuna.

malisho ya Mungu

Mwandishi anazungumzia nchi ya Israeli kana kwamba ni nchi kwa ajili ya kondoo kula na Mungu alikuwa mchungaji wao aliyekuwa akiwachunga.