sw_tn/psa/083/009.md

582 B

Fanya kwao ...kwa ajili ya dunia

Mwandishi anamwomba Mungu kuwashinda adui wa Israeli kama alivyofanya kipindi cha nyuma.

ulivyofanya kwa Midiani

Hapa "Midiani" inawakilishwa watu wa Midiani. "ulivyofanya kwa Wamidiani"

Sisera ... Yabini

Haya ni najina ya wanaume. Yabini alikuwa mfalme wa Hazori. Sisera alikuwa kamanda wa jeshi la Yabini.

mto Kishoni

Hili ni jina la mto kaskazini mwa israeli

Endori

Hili ni jina la mji kaskazini mwa Israeli,

wakawa kama mbolea kwa ajili ya dunia

Hii inamaanisha miili ya Sisera na Yabini haikuzikwa lakini iliachwa kuoza.