sw_tn/psa/082/005.md

407 B

Hawaelewi

Maana zinazowezekana ni 1) wasioelewa ni miungu au 2) wasioelewa ni watu waovu.

wanazurura gizani

Kufanya kilicho kiovu kinazungumziwa kana kwamba walikuwa wakitembea sehemu yenye giza sana.

misingi yote ya duniani inaanguka

Miungu kuharibu mpangilio wa uadilifu ambao Yahwe aliweka inazungumziwa kana kwamba miungu ilikuwa inatikisa dunia na kuifanya ibomoke.

inaanguka

"kubomoka"