sw_tn/psa/080/007.md

786 B

Taarifa ya Jumla:

Asafu anazungumza kwa niaba ya Israeli. Anaanza katika mstari wa 8 kuzungumzia jinsi Mungu alivyowaweka Israeli katika nchi yao kana kwamba Mungu alikuwa ni mtu anayesafisha ardhi ili kupanda mzabibu.

fanya uso wake ung'ae kwetu

Mwandishi anamzungumzia Yahwe kuwatendea kwa fadhila kana kwamba uso wa yahwe alimulika mwanga juu yao. "tenda kwa fadhila kwetu"

tutaokoa

"utatuokoa"

Unileta mzabibu kutoka Misri

Asafu anafananisha taifa la Israeli na mzabibu uliowekwatayari kwa kupandwa. "Ulituleta, kama mzabibu, kutoka Misri"

uliyaondoa mataifa na ukaupanda tena

Mwandishi wa zaburi anawazungumzia watu wake kana kwamba ni mmea ambao Yahwe alikuwa akiupanda tena. "Uliyaondoa mataifa kutoka katika nchi yao na kutupa sisi mzabibu, nakutupanda huko.