647 B
647 B
Taarifa ya Jumla:
Mwandishi anaendelea kueleza kile ambacho Mungu alitenda kwa Waisraeli.
alipunguza siku zao kuwa fupi
"aliwaua wakati bado wako wachanga"
miaka yao ilijaa na hofu
Asafu anazungumzia miaka kana kwamba ilikuwa ni vyombo. "mwaka baada ya mwaka walikuwa wakiogopa kila wakati"
kumtafuta
kumwomba walichohitaji afanye ili awalinde
alipowaumiza, walianza ... walirudi na kumtafuta
Hawa ni watu tofauti ambao Mungu "alipunguza siku zao". Baadhi yao walipokufa, wengine walianza "kumtafuta" Mungu.
walirudi
"walitubu" au "walijuta kweli kwa sababu ya dhambi zao"
kwa bidii
"kwa haraka" au "kadri ya uwezo wao"