sw_tn/psa/077/016.md

636 B

Maji yalikuona ... yaliogopa ... vilindi vilitetemeka

Asafu anazungumzia maji kana kwamba ni mtu aliyeona kitu kilichomtisha.

Maji yalikuona, na yakaogopa; vilindi vilitetemeka

"maji" na "vilindi" zinamaanisha miili mikubwa ya maji kama bahari.

vilindi

"maji ya kina kirefu zaidi"

Mawingu yalimwaga chini maji

Asafu anazungumzia mawingu kana kwamba ni watu wanamwaga maji kutoka kwenye chombo. "Mvua nyingi ilianguka" au "Ilinyesha kwa nguvu sana"

mishale yako ilitapakaa

Hii ni sitiari inayoelezea radi kama mshale wa Mungu. "radi uliyotengeneza ilitoa mwanga kama mishale"

ilitapakaa

Mishale ilipaa hovyo ovyo.