sw_tn/psa/077/008.md

475 B

Taarifa ya Jumla:

Kwa sababu Asafu hakuwa na uhakika ya jibu la maswali haya, inawezekana kuwa yalikuwa maswali halisi.

uaminifu wa agano

Katika kuzungumzia "uaminifu wa agano" wa yahwe, daudi anamtumaini Yahwe kuwa aampenda daima. "upendo wa uaminifu"

Je! Wokovu wake ulizima huruma yake

Asafu anazungumzia hasira kana kwamba ni mtu aanayefunga mlango kumzuia mtu mwingine au huruma kutoka nje. "Je! Mungu aliacha kutuonesha huruma kwa sababu ana hasira na sisi"