345 B
345 B
Nikaita akilini
Hii ni lahaja ya kukumbuka. "Nilikumbuka"
kilichotokea
Maana nyingine inayowezekana ni "nini kilikuwa kinatokea."
Je! Bwana atanikataa milele? Hatanionesha tena fadhila?
Misemo hii miwili inaeleza hisia ya kukataliwa na Bwana.
Hatanionesha tena fadhila
"kufanya vitu ambavyo vinaonesha kuwa amefurahishwa na mimi"