389 B
389 B
uliimarisha urithi wako ulipochoka
Nchi ya Israeli inazungumziwa kana kwamba ni mtu anayeweza kuchoka, au kuptat nguvu. "ulisababisha nchi kutoa mazao mazuri"
urithi wako
Nchi ambayo Mungu aliwapa Waisraeli inazungumziwa kana kwamba ni urithi ambao baba alipitisha kwa watoto wake. "nchi uliyotupa sisi Waisraeli"
maskini
Hii inamaanisha watu maskini kwa ujumla. "watu maskini"