572 B
572 B
Taarifa ya Jumla:
Daudi anaanza kueleza hadithi ya Mungu kuwaongoza Waisraeli katika jangwa hadi mlima Sinai.
ulipotoka nje ... ulipotembea katika
Misemo hii miwili inamaanisha tukio lile lile.
ulipotoka nje mbele ya watu wako
"uliwaongoza watu wako"
ulipotembea katika nyika
Mungu anazungumziwa kana kwamba ni askari anayetembea mbele ya watu wa Israeli.
mbingu pia zikadondosha mvua ... uwepo wa Mungu
"Mungu alisababisha inyeshe"
katika uwepo wa Mungu
Lahaja hii inamaanisha kutokea kwa Mungu mbele ya Waisraeli. "Mungu alipotokea kwa Waisraeli"