sw_tn/psa/068/007.md

572 B

Taarifa ya Jumla:

Daudi anaanza kueleza hadithi ya Mungu kuwaongoza Waisraeli katika jangwa hadi mlima Sinai.

ulipotoka nje ... ulipotembea katika

Misemo hii miwili inamaanisha tukio lile lile.

ulipotoka nje mbele ya watu wako

"uliwaongoza watu wako"

ulipotembea katika nyika

Mungu anazungumziwa kana kwamba ni askari anayetembea mbele ya watu wa Israeli.

mbingu pia zikadondosha mvua ... uwepo wa Mungu

"Mungu alisababisha inyeshe"

katika uwepo wa Mungu

Lahaja hii inamaanisha kutokea kwa Mungu mbele ya Waisraeli. "Mungu alipotokea kwa Waisraeli"