sw_tn/psa/063/005.md

540 B

Itakuwa kana kwamba nimekula mlo wa uboho na mafuta

Hapa mwandishi anazungumzia kumjua na kumwabudu Mungu kama kuridhisha zaidi ya kula chakula kizuri. "Nitakuwa na furaha zaidi ya mtu anayekula mlo wa mafuta na chakula kizuri"

kwa midomo ya furaha mdomo wangu utakusifu

Hapa "kwa midomo ya furaha mdomo wangu" inamwakilisha mtu mzima atakayemsifu Mungu kwa furaha"

ninapokuwaza kitandani mwangu ... katika masaa ya usiku

Vishazi hivi viwili vina maana sawa. Mawazo yanarudiwa kusisitiza jinsi mwandishi anavyowaza kuhusu Mungu.