sw_tn/psa/061/004.md

579 B

nitakimbilia chini ya kivuli cha mbawa zako

Kwenda kwa Yahwe kwa ajili ya ulinzi inazungumziwa kama kumkimbilia. Hata kuna sitiari ya pili inayozungumzia ulinzi wa Yahwe kana kwamba ni kuku analinda vifaranga wake chini ya mbawa zake. "kwenda kwako kwa ajili ya ulinzi kama kifaranga alivyo salama chini ya mbawa za mama yake"

umenipa urithi

Mwandishi anazungumzia baraka za Mungu kana kwamba ni urithi aliopokea. "umenipa baraka"

wanaoheshimu jina lako

Hapa "jina lako" linamaanisha Mungu mwenyewe. "wanaokuheshimu wewe" au "walio na heshima ya ajabu kwa ajili yako"