sw_tn/psa/044/015.md

816 B

fedheha yangu iko mbele yangu

Mwandishi anazungumzia fedheha kana kwamba ni kitu ambacho daima kiko mbele yake kwa ajili yake kuona. Msemo unamaanisha kuwa huwa anafikiria fedheha yake. "ninafikiria fedheha yangu"

aibu ya uso wangu umenifunika

Mwandishi anazungumzia aibu yake kana kwamba ni kitu kinachomfunika kama blangeti. "aibu ya uso wangu imenilemea"

aibu ya uso wangu

"aibu inayoonekana katika uso wangu." Hii inamaanisha mwonekano wa sura ambao unasababishwa na aibu yake.

kwa sababu ya sauti ya yule anyenikemea na kunifedhehesha

Hapa neno "sauti"linamaanisha kitu ambacho mtu anasema. "kwa sababu ya kile ambacho mtu anasema anyenikemea na kunifedhehesha"

anyenikemea na kunifedhehesha

Maneno haya yana maaza za kufanana na yanasisitiza uhalisia mbaya wa kile ambacho mtu huyu anasema.