sw_tn/psa/040/003.md

691 B

Ameweka wimbo mpya mdomoni mwangu

Maana zinazowezekana ni 1) "Amenifundisha maneno ya wimbo mpya" au 2) "Amenipa sababu mpya ya kuimba"

mdomoni mwangu

Hapa "mdomo wangu" inamaanisha mwandishi. "ndani yangu"

sifa kwa Mungu wetu

"wimbo wa kumsifu Mungu wetu"

Wengi wataona

Hapa "wataona" inamaanisha kumsikia mwandishi akiimba wimbo kuhusu kile ambacho Mungu amemtendea. "Watu wengi watasikia kile ambacho Yahwe amefanya"

Amebarikiwa mtu anayemfanya Yahwe tumaini lake

"Amebarikiwa mtu anayemtumaini Yahwe" au "Wale wanaomtumaini Yahwe wamebarikiwa"

wenye kiburi

Hii inamaanisha watu walio na kiburi.

uongo

Maana zinazowezekana ni 1) "uongo" au 2) "miungu ya uongo"