sw_tn/psa/038/005.md

470 B

Taarifa ya Jumla:

Daudi anaendelea kueleza kile amabacho hatia na aibu yake inavyoufanya mwili wake. Anatumia kauli iliyokuzwa kuweka mkazo madhara ya somo hili.

Vidonda vyangu vimeathirika na vinanuka

Hapa "kunuka" inamaanisha vidonda vyake kuwa na harufu mbaya inayoambatana na kuoza kwa nyama. "Vidonda vyangu vimeathirika na vinanuka vinavyooza"

Nimeinama

Maumivu ya mwandishi yamemsababisha ainame kana kwamba ni mzee aliyechoka. "Nimeinama kwa maumivu"