sw_tn/psa/037/039.md

358 B

Wokovu wa wenye haki hutoka kwa Yahwe

"Yahwe huokoa watu wenye haki"

wenye haki

"watu wenye haki"

huwasaidia ... huwaokoa ... huwaokoa

Wazo hilo hilo linarudiwa kwa njia tofauti kusisitiza kuwa Yahwe ni wa kutegemewa na anaweza kutoa msaada.

wamemkimbilia

Kwenda kwa Yahwe kunazungumziwa kama kumkimbilia. "wameenda kwake kwa ajili ya ulinzi"