633 B
633 B
Macho ya Yahwe yako juu ya wenye haki
Hapa "macho ya Yahwe" inamaanisha kutazama kwake kwa makini. "wenye haki" inamaanisha watu wenye haki. "Yahwe huwatazama kwa makini watu wenye haki"
mskio yake yameelekezwa kwa kilio chao
Hapa "maskio yake" inamaanisha hamu ya Yahwe kuwajibu. "anazingatia kilio chao" au "anajibu kilio chao"
kukata kumbukumbu yao duniani
Yahwe atawasababisha watu wawasahau kabisa watakapokufa hadi inakuwa kana kwamba ametumia kisu kuikata kumbukumbu yao. "ili watakapokufa, watu watawasahau kabisa"
Yahwe husikia
Hapa "husikia" inamaanisha kuwa Yahwe anatamani kuwajibu. "Yahwe anawazingatia"