sw_tn/psa/034/004.md

768 B

Nilimtafuta Yahwe

Hapa "Nilimtafuta Yahwe" inamaanisha kuwa Daudi alikuwa akimwomba Yahwe msaada. "Niliomba kwa Yahwe" au "Nilimwomba Yahwe msaada"

Wale wanaomtazama

Hapa "wanaomtazama" inawakilisha kutafuta msaada kutoka kwake. "Wale wanaomtazama yeye kwa ajili ya msaada" au "wale wanaotegemea msaada kutoka kwake pekee"

wanang'aa

Lahaja hii inamaanisha mwonekano wao kuwa wa furaha. "wana furaha"

nyuso zao hazina aibu

Hapa "nyuso zao" inamaanisha watu wanaomtazama Yahwe. Inaweza pia kuelezwa katika hali chanya. "hawana aibu" au "wana majivuno"

Mtu huyu aliye kandamizwa

Daudi anajieleza kama mtu aliye kandamizwa. "Nilikandamizwa na"

Yahwe akamsikia

Hapa "kusikia" inamaana kuwa Yahwe alimsaidia. "Yahwe alinisikia" au "Yahwe alinisaidia"