sw_tn/psa/031/005.md

621 B

Katika mikono yako

Mungu ni roho, lakini hapa anazungumziwa kana kwamba ana mikono. Hapa "mikono yako" inamaansiha matunzo ya Yahwe. "katika matunzo yako"

ninaiweka roho yangu

Hapa "roho yangu" inamaanisha mwandishi. "ninajiweka"

Mungu wa uaminifu

"wewe ni Mungu ninayeweza kumtumaini"

Nawachukia wale wanaotumikia sanamu zisizo na faida

"Sanamu hazina faida. Nawachukia wale wanaoziabudu"

umeona mateso yangu ... ulijua dhiki ya nafsi yangu

Misemo hii miwili inaeleza wazo moja kuwa Mungu anajua kuhusu taabu za mwandishi.

dhiki ya nafsi yangu

Hapa "nafsi yangu" inamaani mwandishi. "dhiki yangu"