sw_tn/psa/030/009.md

641 B

Kuna faida gani ... kuwa msaidizi wangu

Hii inaweza kuelezwa kama nukuuya moja kwa moja.

Kuna faida gani katika kifo changu, kama nikienda kaburini?

Mwandishi anatumia swali hili kusisitiza kuwa hatakuwa wa faida kwa Mungu kama akifa. "Hakuna faida katika kufa kwangu na kwenda chini kaburini"

Je, mavumbi yatakusifu? Yatatangaza uaminifu wako?

Mwandishi anatumia maswali haya kusisitiza kuwa mwili wake uliokufa na kuoza hauwezi kumsifu Mungu. "Mavumbi yangu hakika hayatakusifu au kuwaambia watu jinsi ulivyo mwaminifu"

mavumbi

Hii inamaanisha mwili wa mwandishi utakaooza na kuwa mavumbi atakapokufa. "mwili wangu uliooza"