sw_tn/psa/030/004.md

821 B

Mpeni shukrani mnapo kumbuka utakatifu wake

Nomino dhahani "utakatifu" inaweza kuelezwa kama "takatifu." "Kumbukeni kuwa Mungu ni mtakatifu na mshukuruni" au "Kumbukeni kile ambacho Mungu amefanya kwa kuwa ni mtakatifu na mshukuruni"

hasira yake ni kwa muda tu

"hasira ya huduma kwa muda tu." Nomino dhahania ya "hasira" inaweza kuelezwa kama "kasirika." Anakasirika kwa muda tu"

muda

Hapa "muda" inaashiria muda mdogo. "muda mfupi"

lakini fadhila zakeni milele

Nomino dhahania ya "fadhila" inaweza kuelezwa kama kivumishi "mwema." "lakini yeye ni mwema kwetu maisha yetu yote"

Kulia kunakuja usiku, lakini furaha huja asubuhi

Hii inazungumzia "kulia" na "furaha" kana kwamba ni vitu vinavyo safiri na kufika kwa wakati fulani. "Tunaweza kulia wakati wa usiku, lakini asubuhi ijayo tutakuwa na furaha"