737 B
737 B
Taabu za moyo wangu zimekuwa
Hapa "moyo" unawakilisha hisia za mtu. "Najihisi kutaabika zaidi na zaidi"
nitoe katika dhiki yangu
"nitoe kwenye dhiki yangu." Hii inazungumzia dhiki kana kwamba ni sehemu ambayo mtu anaweza kutolewa. "niokoe na dhiki yangu" au "nipumzishe na dhiki yangu"
dhiki zangu
Neno "dhiki" ni nomino dhahania. "vitu vinavyonipa dhiki" au "vitu vinavyosababisha niogope"
Tazama mateso yangu
"Tambua mateso yangu"
mateso yangu
Nomino dhahania ya "mateso" inaweza kuelezwa kama kitenzi. "vitu vinavyonitesa" au "jinsi nilivyoteseka"
taabu zangu
Neno "taabu" ni nomino dhahania. "vitu vinavyonipa taabu"
wananichukia na chuki ya kikatili
"wananichukia kwa ukatili" au "wananichukia kwa ukali"