sw_tn/psa/025/017.md

737 B

Taabu za moyo wangu zimekuwa

Hapa "moyo" unawakilisha hisia za mtu. "Najihisi kutaabika zaidi na zaidi"

nitoe katika dhiki yangu

"nitoe kwenye dhiki yangu." Hii inazungumzia dhiki kana kwamba ni sehemu ambayo mtu anaweza kutolewa. "niokoe na dhiki yangu" au "nipumzishe na dhiki yangu"

dhiki zangu

Neno "dhiki" ni nomino dhahania. "vitu vinavyonipa dhiki" au "vitu vinavyosababisha niogope"

Tazama mateso yangu

"Tambua mateso yangu"

mateso yangu

Nomino dhahania ya "mateso" inaweza kuelezwa kama kitenzi. "vitu vinavyonitesa" au "jinsi nilivyoteseka"

taabu zangu

Neno "taabu" ni nomino dhahania. "vitu vinavyonipa taabu"

wananichukia na chuki ya kikatili

"wananichukia kwa ukatili" au "wananichukia kwa ukali"