sw_tn/psa/025/006.md

1.1 KiB

Kuweka

Hii ni lahaja. Hii haimaanishi kuwa Mungu amesahau kitu. Mwandishi anamuomba kufikiria na kuzingatia matendo yake ya huruma na uaminifu. "Kumbuka" au "Fikiria kuhusu"

matendo yako ya huruma na uaminifu wako wa agano

Nomino dhahania za "huruma" na "uaminifu" zinaweza kuelezwa kama vivumishi. "jinsi ulivyokuwa na huruma na mwaminifu kwangu kwa sababu ya agano lako"

kwa kuwa wamekuwepo daima

Hapa zinazozungumziwa ni huruma na uaminifu wa Mungu. "kwa kuwa hivyo ndivyo ulivyokuwa daima"

Usiwaze kuhusu dhambi za ujana wangu

Nomino dhahania ya "dhambi" inaweza kuelezwa kama "kutenda dhami." "Usiwaze jinsi nilivyotenda dhambi dhidi yako nilipokuwa mdogo"

au ukaidi wangu

Nomino dhahania ya "ukaidi" unaweza kuelezwa kama "kukaida." "au kusuhu jinsi nilivyokaidi dhidi yako"

Weka akilini

Hii ni lahaja. Hii haimaanishi kuwa Mungu amesahau kitu. Hii haimaanishi kuwa Mungu alisahau kitu. Mwandishi anamwomba Mungu kumwaza. "Nikumbuke" au "Nifikirie"

na uaminifu wa agano kwa sababu ya wema wako

Nomino dhahnia za "uaminifu" na "wema" zinaweza kuelezwa kama vitenzi. "na uwe mwaminifu kwangu kwa sababu ya agano lako, kwa kuwa u mwema"