sw_tn/psa/024/001.md

721 B

Taarifa ya Jumla:

Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania.

Zaburi ya Daudi

Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi.

na ujao wake

Nomino dhahania "ujao" inaweza kuelezwa kama kitenzi "kujaza." "na kila kitu kinachoijaza"

Kwa kuwa ameiweka juu ya bahari na kuiweka juu ya mito

Wahebrania wa wakati huo waliamini kuwa nchi ilishikiliwa na bahari na mito ya chini ya ardhi. "Kwa kuwa aliumba misingi yake kwenye bahari na kuijenga juu ya maji mrefu"

bahari ... mito

Misemo hii miwili inatumika kumaanisha bahari kubwa yenye kina kirefu chini ya dunia.

juu ya mito

"maji yaliyo chini kwenye kina kirefu"