sw_tn/psa/022/030.md

497 B

Kikazi kitakajokuja

Hapa "kizazi" kinawakilisha watu wa kizazi. "Msemo "kitakajokuja" inazungumzia muda wa baadaye kanakwamba ni kitu kinachosafiri na kufika sehemu. "watu wa vizazi vya baadaye"

kizazi kijacho

Hapa "kizazi" kinaashiria watu wa kizazi hicho. "watu wa kizazi kijacho" au "watoto wao"

cha Bwana

"kumhusu Bwana" au "kuhusu kile Bwana amefanya"

kusema kuhusu haki yake

Nomino dhahania ya "haki" inaweza kuelezwa kama kivumishi. "kusema kuhusu vitu vya haku alivyofanya"