602 B
602 B
Nitatangaza jina lako
"Nitafanya jina lako lijulikane." Hapa "jina" linaashiria tabia na sifa ya Mungu. "Nitazungumza kuhusu tabia yako"
ndugu zangu
Hapa "ndugu" inamaanisha "Waisraeli wezangu" au "waabudu wezangu wa Yahwe"
katikati ya kusanyiko
"Waisraeli wezangu na mimi tukikutana pamoja" au " ninapozungukwa na waabudu wezangu wa Yahwe"
Nyie mnayemwogopa
Hapa anazungumza na watu wengi.
Nyie wote uzao wa Yakobo ...nyie wote uzao wa Israeli
Zote hizi zinamaansiha kundi moja la watu.
Simameni kwa kumshangaa
"Mjawe na kumshangaa yeye" au "Acheni nguvu ya Mungu iwashangaze"