sw_tn/psa/022/022.md

602 B

Nitatangaza jina lako

"Nitafanya jina lako lijulikane." Hapa "jina" linaashiria tabia na sifa ya Mungu. "Nitazungumza kuhusu tabia yako"

ndugu zangu

Hapa "ndugu" inamaanisha "Waisraeli wezangu" au "waabudu wezangu wa Yahwe"

katikati ya kusanyiko

"Waisraeli wezangu na mimi tukikutana pamoja" au " ninapozungukwa na waabudu wezangu wa Yahwe"

Nyie mnayemwogopa

Hapa anazungumza na watu wengi.

Nyie wote uzao wa Yakobo ...nyie wote uzao wa Israeli

Zote hizi zinamaansiha kundi moja la watu.

Simameni kwa kumshangaa

"Mjawe na kumshangaa yeye" au "Acheni nguvu ya Mungu iwashangaze"