sw_tn/psa/022/020.md

701 B

Okoa nafsi yangu

Hapa "nafsi" inamaanisha mtu mzima. "Niokoe"

upanga

Upanga ni njia ya kawaida ya kumaanisha adui mwenye vurugu. "wale wanaotaka kuniua" au "adui zangu"

maisha yangu pekee

"maisha yangu ya dhamani" au "maisha pekee niliyonayo"

makucha ya mbwa pori ... mdomo wa simba ... mapembe ya nyati

Mwandishi anawazungumzia adui zake kana kwamba ni mbwa, simba, na nyati kuweka mkazo jinsi adui zake walivyo hatari. Pia, makucha, mdomo, na mapembe yanamaanisha myama mzima. Mwandishi anasisitiza sehemu hizi za wanayama kwa sababu ndio sehemu ambazo wanyama hao hutumia kuua mtu.

mbwa pori ... nyati

Neno "pori" linamaanisha kuwa hakuna mtu aliyemshika na kumfuga huyu mnyama.